2 Yoane 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Kila mutu atakayeenda mbali na asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, mutu yule hashirikiani na Mungu. Lakini yule anayedumu katika mafundisho yale, anashirikiana na Baba na Mwana vilevile. Viz kapitola |