Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 8:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kweli, kila kitu kina wakati wake na njia yake, ingawa mwanadamu anapatwa na tatizo kubwa.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 8:6
14 Kruisverwysings  

Hata hivyo mambo haya uliyaficha ndani ya moyo. Lakini ninajua kwamba ile ilikuwa nia yako.


wapate kuachana na matendo yao mabaya, na kuvunja kiburi chao.


Mungu anamwazibu mutu kwa maumivu yanayomuweka katika kitanda, maumivu yanashika viungo vyake bila kukoma;


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Kuna muda kwa kila kitu, na wakati kwa kila jambo katika dunia:


Mungu amefanya kila kitu kikuwe kizuri kwa wakati wake. Ameweka ndani ya moyo wa mwanadamu mawazo juu ya muda usiokuwa na mwisho, lakini mutu hawezi kuelewa mwanzo na mwisho wa matendo ya Mungu.


Basi, nikasema ndani ya moyo wangu: “Mungu atawahukumu watu wa haki hata vilevile na waovu, maana amepanga wakati kwa kila jambo na kwa kila kazi.”


“Mwenye nyumba atakapokwisha kusimama na kufunga mulango, ninyi mutabaki inje na kuanza kupiga hodi na kusema: ‘Bwana, utufungulie.’ Naye atawajibu: ‘Sijui munatokea wapi.’


Volg ons:

Advertensies


Advertensies