Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Usifanye haraka kukataa mamlaka yake, wala usiendelee kutenda lisilomupendeza, maana mufalme anafanya jinsi anavyopenda.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 8:3
13 Kruisverwysings  

Yakobo akamujibu: “Umri niliojaliwa kama musafiri ni miaka mia moja na makumi tatu. Miaka hiyo imekuwa michache na iliyojaa mateso, tena haijafikia hesabu ya miaka wazee wangu waliyoishi kama wasafiri.”


Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.


Mwana wangu, uwaheshimu Yawe na mufalme, wala usishirikiane na waasi,


jogoo anayetembea kwa maringo, beberu, na mufalme mbele ya watu wake.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


Lakini nilikujua wewe kuwa na moyo mugumu; kichwa kigumu kama chuma, uso wako kama shaba.


Kwa sababu ya ukubwa aliomupa, watu wa makabila yote, mataifa yote na luga zote walitetemeka na kumwogopa. Nebukadneza aliweza kumwua mutu yeyote aliyetaka na kumwacha muzima mutu yeyote aliyetaka. Aliyetaka kumupandisha cheo alimupandisha, aliyetaka kumushusha cheo alimushusha.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies