Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mimi ninasema hivi: tii amri ya mufalme. Kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu, usikate tamaa.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 8:2
10 Kruisverwysings  

Mufalme alimwacha Mefiboseti mwana wa Yonatani kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonatani mwana wa Saulo walikuwa wamefanya kati yao kwa jina la Yawe.


Mbona basi, umevunja kiapo chako kwa Yawe na kutojali amri niliyokupa?”


Viongozi wote na mashujaa vilevile na wana wote wa mufalme Daudi, wakaahidi kuwa watiifu kwa mufalme Solomono.


Lakini kama aliibiwa kwake, anapaswa kumulipa mwenye naye.


Mwana wangu, uwaheshimu Yawe na mufalme, wala usishirikiane na waasi,


Uwakumbushe watu wajinyenyekeze mbele ya watawala na wakubwa. Wanapaswa kuwatii na kuwa tayari kwa kufanya kila tendo zuri.


Ingawa watu walipofika katika pori na kukuta asali ikidondoka kila nafasi, hakuna mutu aliyesubutu kula asali hiyo kwa kuogopa kile kiapo walichoapishwa.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies