Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Maana, kicheko cha mupumbafu ni kama mulio wa miiba katika moto. Hayo nayo ni bure.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 7:6
10 Kruisverwysings  

Yalinizunguka, mengi kama nyuki, lakini yakateketea kama kichaka ndani ya moto; kwa jina la Yawe niliyaangamiza!


watoweke kama konokono anavyoyeyuka akitembea, kama mimba iliyoharibika isiyoona jua hata kidogo!


Mwenye hekima akibishana na mupumbafu, akasirike au acheke, ni mamoja; hatatulia.


Nikasema juu ya kicheko: “Ni wazimu”, na raha: “Iko na faida gani?”


Nitazigeuza sikukuu zenu kuwa kilio, na nyimbo zenu za furaha kuwa maombolezo. Nitawavalisha ninyi wote magunia kwa huzuni na kunyoa vichwa vyenu upaa, kama kuomboleza kifo cha mutoto wa pekee. Na siku ya mwisho itakuwa ya uchungu mukubwa.


Lakini Abrahamu akamujibu: ‘Mutoto wangu, kumbuka kwamba umekwisha kupewa mema yaliyokupasa wakati ulipoishi katika dunia, na Lazaro alipata taabu. Na sasa yeye anatulizwa, lakini wewe unateswa.


Ole kwenu ninyi munaoshiba sasa, maana mutasikia njaa. Ole kwenu ninyi munaocheka sasa, maana mutahuzunika na kulia.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies