Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 7:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Huzuni ni afazali kuliko kicheko, maana, kwa huzuni ya uso moyo unafurahishwa.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 7:3
21 Kruisverwysings  

Mbele sijateswa nilikuwa nimepotea, lakini sasa ninashika neno lako.


Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.


Nikasema juu ya kicheko: “Ni wazimu”, na raha: “Iko na faida gani?”


Moyo wa mwenye hekima uko ndani ya nyumba ya kilio, lakini moyo wa mupumbafu unapenda raha.


Akaniambia: Usiogope wewe unayependwa sana, uko salama. Ukuwe imara na hodari. Aliposema nami, nilipata nguvu, nikamwambia: Bwana, umekwisha kuniimarisha; sema kile ulichotaka kusema.


Heri kwenu munaokuwa wenye njaa sasa, maana mutashibishwa. Heri kwenu munaolia sasa, maana mutacheka.


Ole kwenu ninyi munaoshiba sasa, maana mutasikia njaa. Ole kwenu ninyi munaocheka sasa, maana mutahuzunika na kulia.


Kwa maana taabu tunayopata ni ndogo na ya muda tu, inatutayarishia utukufu mukubwa sana na wa milele unaokuwa muzuri zaidi kupita mateso haya.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies