Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 7:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Hekima inamufanya mwenye hekima kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi katika muji.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 7:19
8 Kruisverwysings  

Mwenye hekima anaweza kuteka muji wa wenye nguvu na kukiporomosha kikingio wanachokitegemea.


Kuwa na hekima na maarifa ni bora kuliko kuwa na nguvu.


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema,


Kulindwa na hekima ni kama kulindwa na feza. Faida ya maarifa ni kwamba hekima inalinda maisha ya mutu anayekuwa nayo.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies