Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Tena, niliona jambo moja la bure chini ya jua.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 4:7
5 Kruisverwysings  

Basi, akatowesha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa misiba ya rafla.


Kisha nikaona mateso yote yanayofanyika chini ya jua. Watu wanaogandamizwa wanalia machozi, lakini hakuna mutu yeyote anayewafariji. Wagandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.


Ni afazali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani ndani ya moyo, kuliko kutoa jasho kwa ajili ya kukamata upepo.


Nilimwona mutu mumoja anayekuwa peke yake, hana mwana wala ndugu. Hata hivyo, haachi kutoa jasho. Hatosheki hata kidogo na mali yake wala hatulii na kujiuliza: “Ninatoa jasho kwa ajili ya nani na kujizuiza kuwa na raha?” Hayo nayo ni bure. Ni shuguli inayosikitisha.


Babu zenu hawakupata azabu kwa sababu ya kukataa maagizo yangu na amri nilizowapa kwa njia ya watumishi wangu manabii? Wakati huo, wao waligeuka na kusema kwamba: Yawe wa majeshi alikusudia kututendea kulingana na mienendo yetu na matendo yetu, na kweli ndivyo alivyotutendea.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies