Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 4:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 4:5
10 Kruisverwysings  

Niko tayari hata kuhatarisha maisha yangu.


Mutu mwema anafaidika yeye mwenyewe, lakini mutu mukali anajiumiza mwenyewe.


Mwindaji muvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.


Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.


Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?


Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.


Manase anashambulia Efuraimu, Efuraimu anashambulia Manase na wote wawili wanashambulia Yuda. Hata hivyo, hasira ya Yawe haijatulia, angali ananyoosha mukono wake kwa kuwaazibu.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies