Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 4:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Hesabu ya watu haikukuwa na mwisho, naye aliwatawala wote. Hata hivyo, wale wanaozaliwa nyuma hawatamufurahia. Hakika hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 4:16
12 Kruisverwysings  

Kisha, mufalme akatoka, akaenda, akaikaa kwenye nafasi yake karibu na mulango. Watu wote walipoambiwa kwamba mufalme yuko kwenye mulango, wote walimwendea. Wakati ule, watu wote wa Israeli walikuwa wamekimbia, kila mumoja kwake.


Halafu watu wote walimufuata, wakipiga mazomari, wakafurahi kwa shangwe kubwa, hata inchi ikatikisika kwa sauti zao.


Nimeyaona mambo yote yanayofanywa chini ya jua. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo!


Kisha nikafikiri juu ya yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, na jinsi nilivyotoa jasho kwa kuyafanya. Nikatambua kwamba yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Hakukukuwa faida yoyote chini ya jua.


Kwa hiyo, nikachukia maisha, maana yote yanayotendeka chini ya jua yalinisikitisha. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Mungu anamujalia mutu anayependezwa naye hekima, akili na furaha; lakini anamupa mwenye zambi kazi ya kuvuna na kulundika, kisha Mungu anavipatia yule anayemupendeza. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.


Niliwaona watu wote wanaoishi chini ya jua wakishikamana na yule kijana ambaye angekamata nafasi ya mufalme.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies