na kuibomoa miji yao. Kila nafasi walipopita kwenye shamba zuri, kila mutu alilirushia jiwe mpaka kila shamba likajaa mawe; vilevile wakaziziba chemichemi zote za maji na kukata miti yote mizuri. Nyuma ya hayo, kukabaki muji mukubwa wa Kiri-Haraseti peke yake, ambao waaskari wapiga-kombeo waliuzunguka na kuuteka.