Muhubiri 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Kisha nikafikiri juu ya yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, na jinsi nilivyotoa jasho kwa kuyafanya. Nikatambua kwamba yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Hakukukuwa faida yoyote chini ya jua. Sien die hoofstuk |