Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 2:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Kisha nikafikiri juu ya yote niliyokuwa nimefanya kwa mikono yangu, na jinsi nilivyotoa jasho kwa kuyafanya. Nikatambua kwamba yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo. Hakukukuwa faida yoyote chini ya jua.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 2:11
13 Kruisverwysings  

Mungu akaona kwamba kila kitu alichofanya ni kizuri kabisa. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya sita.


Ee Yawe, utajificha hata milele? Mpaka wakati gani hasira yako itawaka kama moto?


Musa akachunguza kila kitu, akaona kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama vile Yawe alivyoamuru. Hivyo Musa akawabariki.


Nimeyaona mambo yote yanayofanywa chini ya jua. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo!


Nilifanya bidii kujua umbalimbali kati ya hekima, wazimu na upumbafu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kutaka kukamata upepo.


Mwanadamu anafaidia nini kwa jasho lake lote hapa chini ya jua?


Mufanya kazi anafaidia nini kutokana na jasho aliyotoa?


Mali ikiongezeka, wale watakaoikula wanaongezeka vilevile, naye mwenye mali inamufalia nini isipokuwa kuiangalia tu mali yake?


Aliishi maisha yake yote katika giza na huzuni, katika mahangaiko, magonjwa na hasira.


Yawe wa majeshi anasababisha juhudi za watu zipotelee katika moto, na mataifa yajishugulishe bure.


Hakika, dini ni pato kubwa kwa mutu kama anafurahia vitu anavyokuwa navyo.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies