Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 milango imefungwa, sauti za visagio zimekuwa ndogo, watu wanashituliwa na sauti ya ndege, sauti za muziki zimekuwa ndogo,

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 12:4
5 Kruisverwysings  

Lakini Barzilayi akamwambia mufalme: “Niko tena na miaka mingi ya kuishi ndipo niende nawe mufalme mpaka Yerusalema?


Shingo yake ina nguvu ajabu, nyama yule anapotokea watu wanapatwa na hofu.


Utwae mawe ya kusagia, usage unga kama mutumwa! Vua kitambaa chako, pandisha kanzu yako! Onyesha miguu yako kwa kuvuka mito.


Tena, nitakomesha toka kati yao sauti za furaha, sauti za wenye kufanya ndoa, wala sauti za kusaga hazitasikilika, wala mwangaza wa taa hautaonekana.


Sauti ya wapiga vinubi na ya wapiga vinanda, ya wapiga filimbi na ya baragumu, haitasikilika ndani yako tena. Fundi wa kazi yoyote hataonekana ndani yako tena hata kidogo wala kelele la jiwe la kusagia halitasikilika.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies