Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 12:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 walinzi wa nyumba wanatetemeka, wenye nguvu wanakunjama, wasagaji wanaacha kazi kwa sababu ni wachache, wanaochungulia kwenye dirisha wanakuwa zaifu,

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 12:3
9 Kruisverwysings  

Na ilikuwa wakati Isaka alipokuwa muzee na macho yake yalikuwa zaifu hata hakuweza kuona tena, akaita Esau mwana wake mukubwa, akamwambia: “Mwana wangu!” Naye akaitika: “Niko hapa!”


Macho ya Israeli yalikuwa hayaoni vizuri kwa sababu ya uzee. Basi, Yosefu akasogeza wana wake karibu na baba yake, naye akawabusu na kuwakumbatia.


wakati mataifa yatakapokusanyika pamoja na falme zitakapokutana kumwabudu Yawe.


Nikakuwa kama ninamulilia rafiki au ndugu yangu. Nilikwenda huku na huko kwa huzuni, kama mutu anayeomboleza kifo cha mama yake.


Vidonda vyangu vimeoza na kunuka, na hayo ni matokeo ya ujinga wangu.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Wazee, wanaume na wanawake, wataonekana tena wakiikaa kwenye barabara za Yerusalema, kila mumoja na fimbo yake kwa sababu ya kuishi miaka mingi.


Siku moja usiku, Eli ambaye macho yake yalikuwa yamefifia, alikuwa amelala katika chumba chake.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies