Nyuma ya wakati kidogo mbingu zikatanda mawingu mazito, upepo ukavuma, kukanyesha mvua kubwa. Ahabu naye akapanda ndani ya gari lake la vita, akarudia Yezereheli.
Basi akamwambia mutunzaji wa hili shamba: ‘Sasa ni muda wa miaka mitatu ninakuja kutafuta matunda juu ya muti huu wa tini nami sipati kitu. Uukate! Muti huu unaharibu udongo bure.’
Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?