Muhubiri 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Gawa sehemu moja kwa watu saba hata wanane, maana, haujui hasara itakayofika katika dunia. Sien die hoofstuk |
Kutokana na sababu hii, Wayuda wanaokaa katika vijiji na katika miji midogo wanasherehekea siku ya kumi na ine ya mwezi wa Adari kuwa sikukuu ya furaha, na kupelekeana zawadi wakati wale wanaoishi katika miji mikubwa wanasherehekea siku ya kumi na tano ya mwezi wa Adari kama siku ya mapumziko, na kupelekeana vilevile zawadi.