Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 10:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Kuna uovu niliotambua hapa chini ya jua, uovu unaosababishwa na watawala:

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 10:5
10 Kruisverwysings  

Haifai kwa mupumbafu kuishi kwa raha; tena ni vibaya zaidi mutumwa kuwatawala wakubwa.


Watu wa haki wakipata madaraka, kuna utukufu mukubwa. Lakini waovu wakitawala, watu wanajificha.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


wapumbafu wanapewa kazi za madaraka ya juu, na watajiri wanakamata nafasi za mwisho.


Zaidi ya hayo, nimegundua chini ya jua kwamba uovu unatawala kwa pahali pa haki na sheria.


Kisha nikaona mateso yote yanayofanyika chini ya jua. Watu wanaogandamizwa wanalia machozi, lakini hakuna mutu yeyote anayewafariji. Wagandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.


Tena, niliona jambo moja la bure chini ya jua.


Kwa bahati mbaya, mali hiyo iliharibiwa katika matumizi mabaya. Kwa mwisho, mutu yule hakukuwa na kitu chochote wakati alipokuwa na mwana.


Nimeona jambo moja ovu hapa chini ya jua, linalowagandamiza watu:


Hili ni jambo baya zaidi kati ya yote yanayotukia hapa chini ya jua, kwamba mwisho uleule unawapata wote. Tena, wakati wote wa maisha yao, wanadamu wanajaa uovu na wazimu, na kisha wanakufa.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies