Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hata anapopita katika njia, anakosa akili, anamwambia kila mutu kwamba yeye ni mupumbafu.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 10:3
5 Kruisverwysings  

Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.


Mupumbafu hapendezwi na ufahamu; kitu cha maana kwake ni maoni yake tu.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Sasa, wapagani wanashangaa kuona ninyi hamushirikiani nao tena katika maisha ya ovyo ovyo; na kwa hiyo wanawasingizia ninyi.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies