Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 10:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Nyoka ya muchawi ikiuma mbele haijachochewa, hakuna faida tena kwa muchawi.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 10:11
9 Kruisverwysings  

ambaye hasikii hata sauti ya mulozi, au ya muganga anayekuwa fundi wa uchawi.


Unikinge na shauri baya la waovu, nayo fujo ya watu wabaya.


Ulimi una nguvu ya kuleta uzima na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.


Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.


Basi nitawatumia ninyi nyoka; nyoka wenye sumu wasioweza kulogwa na walozi, nao watawauma ninyi. –Ni ujumbe wa Yawe.


Nao ulimi ni kama moto. Ulimi ni kiungo kinachojaa ubaya wa kila namna. Ulimi unapatikana kwenye nafasi yake katikati ya viungo vyetu, nao ndio unaochafua mwili wote. Unateketeza maisha yetu ukichomwa wenyewe na moto unaotoka katika jehenamu.


Lakini hakuna mutu mumoja anayeweza kufuga ulimi, maana ni uovu usiotulia, unajaa sumu yenye kuua.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies