Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kizazi kimoja kinapita na kingine kinakuja, lakini dunia inadumu milele.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 1:4
17 Kruisverwysings  

Yakobo akamujibu: “Umri niliojaliwa kama musafiri ni miaka mia moja na makumi tatu. Miaka hiyo imekuwa michache na iliyojaa mateso, tena haijafikia hesabu ya miaka wazee wangu waliyoishi kama wasafiri.”


Umeiweka dunia imara juu ya misingi yake, isitikisike hata milele.


Wimbo wa safari za kidini. Wanaomutegemea Yawe, wako kama mulima Sayuni, ambao hautikisiki lakini unabaki imara siku zote.


Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake?


Babu zenu, wako wapi? Na manabii, wanaishi milele?


Mbingu na dunia vitatoweka, lakini maneno yangu hayatabadilika hata kidogo.


Na kwa mwisho, yule mwanamuke akakufa vilevile.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies