Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Muhubiri 1:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Hakuna mutu anayekumbuka mambo ya zamani, wala atakayekumbuka yatakayotukia kisha.

Sien die hoofstuk Kopieer




Muhubiri 1:11
7 Kruisverwysings  

Umeyakaripia mataifa, umewaangamiza waovu; umeyafuta majina yao kwa milele.


Watu wanasema: “Angalia jambo hili ni jipya”, kumbe limekwisha kutendeka zamani za kale.


Maana hakuna anayemukumbuka mwenye hekima, wala anayemukumbuka mupumbafu, maana katika siku zinazokuja wote watasahaulika. Maana mwenye hekima anakufa sawasawa na mupumbafu!


Tena, nimeona waovu wakizikwa, watu ambao walizoea kuingia na kutoka pahali patakatifu, na kusifiwa katika muji uleule walimotenda maovu yao. Hayo nayo ni bure.


Maana, wanaoishi wanajua kwamba watakufa, lakini wafu hawajui kitu chochote. Hawana malipo tena. Hakuna ukumbusho juu yao, wamesahauliwa kabisa.


Mambo niliyotabiri yametukia; na sasa ninatangaza mambo mapya, ninakuelezea hayo mbele hayajatukia.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies