Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




Danieli 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Basi, maliwali, wasimamizi, watawala, washauri, walinzi wa hazina, wana sheria na wakubwa wote wa majimbo wakakusanyika tayari kwa muzinduo wa sanamu mufalme Nebukadneza aliyosimamisha.

Sien die hoofstuk Kopieer




Danieli 3:3
11 Kruisverwysings  

Kisha mufalme akaamuru maliwali, wasimamizi, watawala, washauri, walinzi wa mali, waamuzi, wana sheria na wakubwa wote wa majimbo wahuzurie sikukuu ya kuzindua sanamu aliyosimamisha.


Maliwali, wasimamizi, wakubwa wa majimbo na washauri wa mufalme, wote wakakusanyika pamoja, wakaona kwamba ule moto haukuweza kuwaunguza hao watatu. Nywele zao hazikuungua, nguo zao hazikuungua wala hawakuwa na harufu yoyote ya moto.


Mutangazaji wa habari akatangaza kwa sauti kubwa: Enyi watu wa makabila yote, mataifa yote na luga zote, munaamuriwa kwamba


Hakuna mutu mwenye ufahamu, hakuna mwenye kushugulika na Mungu.


Hawa wote kumi wako na shabaha moja ya kumupa yule nyama uwezo wao na mamlaka yao.


Kwa maana Mungu ametia ndani yao nia ya kuwasukuma kutimiza shabaha yake nao wapate kufikia shauri moja na kumupa yule nyama madaraka yao ya kifalme mpaka maneno ya Mungu yatimie.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies