Biblia Todo Logo
Aanlyn Bybel

- Advertensies -




2 Samweli 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kwa hiyo Daudi alikwenda Hebroni, pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezereheli, na Abigaili, mujane wa Nabali, kutoka muji wa Karmeli.

Sien die hoofstuk Kopieer




2 Samweli 2:2
5 Kruisverwysings  

Kiliabu muzaliwa wake wa pili, mama yake alikuwa Abigaili mujane wa Nabali wa muji wa Karmeli; Abusaloma muzaliwa wake wa tatu, mama yake alikuwa Maka binti ya Talmayi mufalme wa Gesuri;


Daudi na watu wake pamoja na jamaa yake wakaishi na Akisi kule Gati. Daudi alikuwa na wake wawili: Ahinoamu kutoka Yezereheli na Abigaili mujane wa Nabali kutoka muji wa Karmeli.


Wake wawili wa Daudi, Ahinoamu kutoka Yezereheli na Abigaili mujane wa Nabali, nao vilevile walikuwa wamekamatwa mateka.


Volg ons:

Advertensies


Advertensies